1. Kuzuru
msikiti wa Mtume au kuweko Makka kufanya
Umrah (kwa wanafanya Hajjut- Tamattu’u) na kuendelea kuswali hapo Masjidul-
Haraam.
Madina
Kuswali Masjidun- Nabawiy (Msikiti wa
Mfalme) na wanaume kuzuru kaburi la Mtume
Makka
Kufanya Twawwaaf kuzunguka kaaba mara 7
kuswali mara 2 Maqaam Ibrahim Sayi
Swafaa na Marwah
Kuanzia kilima cha Swafaa kwenda kilima cha
Marwah mara saba. Wakimaliza Umrah watabakia Makka na kuswali katika Masjidul-
Haraam
Mina
Asubuhi wanaondoka Makka kuelekea Mina
Siku ya Arafah
Wanaondoka katika mina asubuhi
kuelekea Alafah na kubali hadi jua linapozama. Ni siku ya kutekeleza faradhi
kubwa miongoni mwa taratibu za hija. Siku ya kuomba dua sana. Na ndivyo siku
aliyosimama Mtume Muhammad (S,W) katika milima ya Arafah na kutoa hotuba yake
ya mwisho.
Hapa wataswali swala ya Adhuhuri na
Alasiri janian wa Qwaswran (kujumuisha na kufupisha rakaa mbilimbili)
watasiliza hotuba (watakaukuwa karibu na Masjidun- Namirah). Wasiokuwepo huko
siku hiyo watafunga Swawm ya Arafah. Jua likizama wanaelekea Muzdalifah.
Muzdalifah- Mina-
Makka
Watafika Muzdalifah usiku na wataswali
magharibi na Ishaa ‘Jam’an kwa Quaswran
( kujumuisha na kufupisha Rakaa talu magharibi kawaida na kufupisha Rakaa mbili
Ishaa) Watabaki Muzdalifa usiku mzima kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu na kuokota
vijiwe vya kurusha katika Jamaraat.
Asubuhi- Yawmun- Nahr (siku ya kuchinja).
Kwa mahujaji, na kwa wasiokuwepo huko ni siku ya iyd wataelekea kutekeleza
vitendo vifuatavyo vya faradhi za Hija.
Kurusha vijiwe katika
Jamraat, kutufu Twaaful – Ifaadh, kunyoa nywele na kuchinja ( vyovyote
watakavyotanguliza katika vitendo hivi inajuzu) kurusha mawe katika Jamaraat.
Ayyaamut – Tashriya
(Siku ya kwanza na ya pili ya Thashriya)
Watarudi Mina na kwaajili ya kurusha mawe katika Jamaraat. Ni siku ya kula na kunywa na kumkumbuka
Mwenyezi Mungu.
Siku ya mwisho ya
Tashriya
Wanaopenda kubakia Mina watabakia kisha
watarudi Makka na ikiwa safari imewadia watafanya Twawwaaful – Wida-a (Twawwaaf
ya kuaga).
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni