Tafuta katika Blogu Hii

Jumamosi, 10 Oktoba 2015

Orodha ya Waafrika waliowahi kushinda Tuzo ya Amani ya Nobel

1960 Raia wa Afrika Kusini Albert Luthuli, aliyekuwa kiongozi wa chama cha African National Congress: "Kamati ya Nobel Committee kwa mara ya pili iliteua mshindi kutoka miongoni mwa watu waliokuwa wakihangaishwa na watawala "

Hakuna maoni: