Kampuni ya mtandaoni ya Yahoo imesema Jumatano kuwa kuvuja kwa taarifa mwezi Agosti 2013 kuliweka taarifa za zaidi ya watumiaji bilioni moja kwenye hatari.
Kampuni ya mtandaoni wa Yahoo imesema Jumatano kuwa kutolewa kwa siri
taarifa hapo mwezi Agosti 2013 kuliweka taarifa za zaidi ya watumiaji
bilioni moja kwenye hatari. Yahoo imefafanua kuwa wizi huo wa mitandaoni
ni tofauti na uliofanyika Septemba wakati kampuni hiyo ilipofichua kuwa
taarifa za zaidi ya watumiaji milioni 500 zilivuja 2014.
Yahoo inaamini kuwa mtu asie na idhini Agosti 2013 aliiba taarifa zinazohusina na zaidi ya watumizi bilioni moja wa mtandao huo. Taarifa zilizoibiwa ni pamoja na majina ya watu, akaunti za barua pepe, nabari za simu, siku za kuzaliwa pamoja na mswali ya kiusalama.
Taarifa kuhusu kadi za benki inaaminika kuwa hazikuvuja. Kampuni ya Yahoo yenye makao yake Snnyville California inajiandaa kununuliwa na kampuni ya Verizon kwa dola bilioni 4.8.
Yahoo inaamini kuwa mtu asie na idhini Agosti 2013 aliiba taarifa zinazohusina na zaidi ya watumizi bilioni moja wa mtandao huo. Taarifa zilizoibiwa ni pamoja na majina ya watu, akaunti za barua pepe, nabari za simu, siku za kuzaliwa pamoja na mswali ya kiusalama.
Taarifa kuhusu kadi za benki inaaminika kuwa hazikuvuja. Kampuni ya Yahoo yenye makao yake Snnyville California inajiandaa kununuliwa na kampuni ya Verizon kwa dola bilioni 4.8.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni