Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 19 Januari 2017

Putin,Merkel na Hollande,Wafanya mazungumzo

Rais wa Urusi Vladimir Putin,Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na rais wa Ufaransa Francois Hollande wamefanya mazungumzo ya simu

Rais wa Urusi Vladimir Putin,Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na rais wa Ufaransa Francois Hollande wamefanya mazungumzo ya simu kuhusu utatuzi wa masuala ya Ukraine.
Viongozi hawa watatu wamejadili jinsi ya kuisaidia nchi ya Ukraine kutatua matatizo yake.
Mkutano pia uligusia kuendeleza kwa makubaliano waliofanya na nchi hiyo mnamo Oktoba mwaka jana mjini Berlin.
 Kwa mujibu wa habari Mgogoro kati ya serikali ya Ukraine na kundi la Pro Russian Separatist lazima utatuliwe kwani unazidi kusababisha maafa.
Mpaka sasa watu takriban 9750 wamepoteza maisha kutokana na mgogoro huu.

Hakuna maoni: