Serikali ya Kampala yakanusha tuhuma kuhusu kundi la waasi wa zamani wa M23 Mashariki mwa DR Congo
Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo alifahamisha kutiwa wasiwasi na uwepo wa waasi wa zamani wa kundi la M23 Mashariki mwa nchini.
Kwa upande wake serikali ya Kampala immekanusha uwepo wa waasi hao katika ardhi ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
Serikali ya Kinshasa ilifahamisha wanamgambo wapatao 150 wa kundi la M23 walingia mashariki mwa Jamhuri ya kşdemokrasia ya Congo.
Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo alifahamisha kutiwa wasiwasi na uwepo wa waasi wa zamani wa kundi la M23 Mashariki mwa nchini.
Kwa upande wake serikali ya Kampala immekanusha uwepo wa waasi hao katika ardhi ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
Serikali ya Kinshasa ilifahamisha wanamgambo wapatao 150 wa kundi la M23 walingia mashariki mwa Jamhuri ya kşdemokrasia ya Congo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni